June Onkundi Daktari aliyekuwa akifanya kazi ya kutoa huduma katika kituo cha watu wenye matatizo ya akili huko nchini Marekani ameshambulia na mmoja ya wagonjwa aliyekuwa akimhudumia na kuuwawa.
June alisafiri kutoka kwao Kenya na kuelelekea nchini Marekani kwa ajili ya kutimiza ndoto yake ya kuwa daktari wa magonjwa ya binadamu"Ndugu yake June alisema.
Kaka yake amesema muda mwingine alikuwa akifanya hata kwa muda wa nyongeza ili kuwasaidia wagomjwa wengi zaidi.