MABEHEWA YA SGR YAANZA KUWASILI

Mabehewa yatakayotumika kwa reli ya kisasa (SGR) yameanza kuwasili nchini kutoka Korea Kusini ambapo tayari mabehewa 14 yamepokelewa.


Oktoba 2022 akiwa nchini Korea Kusini, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alitembelea kiwanda cha Kampuni ya Sung Shin Rolling Stock inayotengeneza mabehewa ya reli ya kisasa (SGR).



Kipande cha kwanza cha SGR kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro kinatarajiwa kuanza kutoa huduma Januari 2023, Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete ameeleza.

Post a Comment

Previous Post Next Post